JULIUS MKANYIA
Member
- May 8, 2012
- 29
- 4
Habari zenu wana JF. Mimi ni sawa na mtoto mchanga kabisa katika JF, sijui chochote kile hivyo naomba ushirikiano wenu wa kunielekeza mambo mbalimbali nisiyoyafahamu kabisa pale nitakapokuwa nahitaji msaada kutoka kwenu wana JF ili na mimi niweze kuifurahia JF kwa sababu naipenda sana.