Hodi jf mimi ni mgeni

Joined
May 8, 2012
Posts
29
Reaction score
4
Habari zenu wana JF. Mimi ni sawa na mtoto mchanga kabisa katika JF, sijui chochote kile hivyo naomba ushirikiano wenu wa kunielekeza mambo mbalimbali nisiyoyafahamu kabisa pale nitakapokuwa nahitaji msaada kutoka kwenu wana JF ili na mimi niweze kuifurahia JF kwa sababu naipenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…