Hodi Jf

Hodi Jf

ngabobo

Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
75
Reaction score
47
Nawaamkia kwa heshima zote wakubwa kwa wadogo,Kijana na Mzee.Nina Kamba mguuni.Tafadhali naomba mnipokee....
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hapana Mkuu.Hawawezi kunituma hao.Hawaniwezi hao. Labda ningevutiwa na Tanzania ya baada ya miaka hamsini ,ningeshawishika kutumwa mkuu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Karibu kijana tunahitaji werevu humu ulifanyie jukwaa mambo mazuri
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa umewezaji kuniita mkuu..?
Utaratibu wa huku kumbe unaujua, aliyekutonya ni nani?
Hadi kulike unajua..?[emoji23] [emoji23]
Dah jamaa mbona unataka kumtia jamba jamba sana wakati kabisha hodi vizuri tu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Dah jamaa mbona unataka kumtia jamba jamba sana wakati kabisha hodi vizuri tu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumzoesha mandhari mkuu...
 
Haya cyo mbaya. Ebwana mgeni karibu naimani umekuja na mazuri ya wenyeji wako kujifunza toka kwako,
 
Back
Top Bottom