Hodi Jf

ngabobo

Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
75
Reaction score
47
Nawaamkia kwa heshima zote wakubwa kwa wadogo,Kijana na Mzee.Nina Kamba mguuni.Tafadhali naomba mnipokee....
 
Reactions: PNC
Hapana Mkuu.Hawawezi kunituma hao.Hawaniwezi hao. Labda ningevutiwa na Tanzania ya baada ya miaka hamsini ,ningeshawishika kutumwa mkuu
 
Reactions: PNC
Karibu kijana tunahitaji werevu humu ulifanyie jukwaa mambo mazuri
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa umewezaji kuniita mkuu..?
Utaratibu wa huku kumbe unaujua, aliyekutonya ni nani?
Hadi kulike unajua..?[emoji23] [emoji23]
Dah jamaa mbona unataka kumtia jamba jamba sana wakati kabisha hodi vizuri tu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Dah jamaa mbona unataka kumtia jamba jamba sana wakati kabisha hodi vizuri tu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumzoesha mandhari mkuu...
 
Haya cyo mbaya. Ebwana mgeni karibu naimani umekuja na mazuri ya wenyeji wako kujifunza toka kwako,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…