Naona pametokea mkanganyiko wa kuelewana hapa......Karibu Dr
Dar sehem gani? Me mwenyewe niko dar
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu dr kamba ya mguuni ikishamtoka,atatuchachafya sana humu
Karibu mkuu hapa ndio Jf kila mtu kafika chuo na anadegree!
Vp unaelimu gani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakuomba badilisha picha na tafuta jina lingine,naomba tumia jina la **kond*
Alivurugwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona pametokea mkanganyiko wa kuelewana hapa......
Mmoja amemaanisha Dr/Doctor (karibu)
Mwingine akaelewa karibu ile (Dr) kana kwamba karibu Dar. Baada ya hapo akauliza Dar sehem gani..?
Yaani nimcheka sana aiseeeee....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] lugha gonganaNaona pametokea mkanganyiko wa kuelewana hapa......
Mmoja amemaanisha Dr/Doctor (karibu)
Mwingine akaelewa karibu ile (Dr) kana kwamba karibu Dar. Baada ya hapo akauliza Dar sehem gani..?
Yaani nimcheka sana aiseeeee....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na.......Alivurugwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
asante sana ndugu yanguKaribu Dr
mkuu siwez kuchange username aisee that's my name au unataka niweke jina la mtu mwingine?Akijua atatoa na ata change user name
shukrani mkuuKaribu sana Tabibu.
asante sana chiefKaribu mr
asante sana brotherKaribu sana
wala sipo hivyo brotherHuyu dr kamba ya mguuni ikishamtoka,atatuchachafya sana humu
asante sana kwa kunijulisha hilo mkuu. ila sioni kama ni busara sana kuexpose level ya elimu yako just for no reasonKaribu mkuu hapa ndio Jf kila mtu kafika chuo na anadegree!
Vp unaelimu gani
sijakuelewa mkuuNakuomba badilisha picha na tafuta jina lingine,naomba tumia jina la **kond*
asante sana mkuuKalibu sana
ok asante kwa kunielekeza mkuuRusha nyingine bhana ya muonekano mzuri hii haikutoi vizuri
Okasante sana kwa kunijulisha hilo mkuu. ila sioni kama ni busara sana kuexpose level ya elimu yako just for no reason
asante sanaOk
Your warmly welcome!
Ndugu unafikiria JF ni kamaNdugu wana JF nawasalimu katika jina la Mungu. mimi ni member mpya kabisa humu ndani, ni matumaini yangu kuwa mtanipokea na natarajia kujifunza mengi kutoka kwenu. asante.