Hi ladies and gents, mambo yakoje and how are you for those who are not used to SWAHILI Language. Unajua, when you enter a place which for sure you know that you are new, you better give asalam alyeikum to wenyeji. Nimeingia wazee. Leteni taratibu za kujumuika kwa page hiiiii.
Karibu sana, lakini ukijisikia kuondoka usisahau kuaga...Hi ladies and gents, mambo yakoje and how are you for those who are not used to SWAHILI Language. Unajua, when you enter a place which for sure you know that you are new, you better give asalam alyeikum to wenyeji. Nimeingia wazee. Leteni taratibu za kujumuika kwa page hiiiii.
ha ha ha haaa....Karibu sana, lakini ukijisikia kuondoka usisahau kuaga...
Huwa nasikitika sana idadi ya midume inapoongezeka hapa..karibu kwa shingo upande.
Karibu Mr angalizo nakupa, chunga vidole vyako kila unachokisema kuwa na data za kutosha sababu ni kuwa humu ndani kuna watu wa kila aina maprofferser mpaka siye wakulima najua unanielewa.....!!!