Hodi jukwaa la watu watulivu,Wenu Meidimu sirkon

Uchaguzi wa Kamati za CCM imegubikwa na rushwa:
M'kiti wa Taifa ameshtushwa na hilo jambo lakini nauliza hana mamlaka ya kutengua uchaguzi huo akiwa M'Kiti?
Ili kumuenzi Baba wa Taifa hili kwa vitendo kuliko nadharia:
 
Ndg nauliza swali kwamba salio la rada imefikia wapi kwani vitabu,madawati shuleni havijafika wala ilipo hiyo Change ya rada
 
Ndg nauliza swali kwamba salio la rada imefikia wapi kwani vitabu,madawati shuleni havijafika wala ilipo hiyo Change ya rada
Hizi mada zako ni vizuri ukazipeleka kwenye majukwaa husika.
 
I do give big up for those Mps who reinitiate the withdrawmoney from Nssf and others afew to mention
 
I do give big up for those Mps who reinitiate the withdrawmoney from Nssf and others afew to mention

meidimu sirkon kuna majukwaa humu Jf,kama vile jukwaa la siasa ambako unaweza kupeleka hizi mada zako na kuchangia mada zilizo anzishwa na wenzako.
Karibu Jf mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…