Hodi jukwaani

Upoooooooo! Asprin kazi ya u auditor in chief inakushindaaa. Watu wanaingia bila kukaguliwa.

Hebu mwambie a kam zis wei.... Tena akuye wizauti ili nisipoteze muda bure.

Hako ka avatar kake hakyamama kuna uwezekana mabazazi yameshanisaidia kazi.

Afanaaleki
 
Karibu ma,nikunengee mringaaaa? Wachagga wenzio ndo sisi. Mimi na miss chagga. Welcome to the sister hood. Wachagga humu wote tuna hoja nzito nzito:lol:

Miss chagga nsaidie naihitaj kujua jinsi ya kupost hapa ndan nna vitu ving nahitaj kuvijua nahs jf kwa njia moja au nyngne itaweza kunfumbua macho.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…