Nilifichwa na jimama flani basi ndio limeniachia sasa..
jimama again? WAPI BUJIBUJI?Nilifichwa na jimama flani basi ndio limeniachia sasa..
Mkuu unamkumbuka MAYAULA MAYONI? (RIP). aliamua kuvunja gitaa alipokuja bongo.... ndo akamaliza hesabu za profesheni yake....si Li mbwata Jimama la kisawasawa linalojuwa kulea, mwenzio nilikuwa nikikesha bila kujuwa! nastuka asubuhi hii.. "maji ya vuguvugu bafuni"
jimama again? WAPI BUJIBUJI?
hahhaha.. kama ulikuwepo
Mkuu unamkumbuka MAYAULA MAYONI? (RIP). aliamua kuvunja gitaa alipokuja bongo.... ndo akamaliza hesabu za profesheni yake....