Hodi Mi mgeni jamn naomba wenyeji mnikaribe kwa Pilao

Hodi Mi mgeni jamn naomba wenyeji mnikaribe kwa Pilao

Tukukaribe ndiyo nn, embu rudi sheleni kwanza ukajifunze kuandika ndipo uingie humu, watu tusha vurugwa humu na teuzi za juzi.
 
Tukukaribe ndiyo nn, embu rudi sheleni kwanza ukajifunze kuandika ndipo uingie humu, watu tusha vurugwa humu na teuzi za juzi.
Si unajua Smart za urithi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na wewe ona "embu" baada ya ebu smart haijawahi kumuacha salama mbongo yeyote
 
Mbona una kihere here? Alafu huo mwandiko ni wa mke wa mtu kabisa
 
Back
Top Bottom