Jambazi hatari
Member
- Mar 25, 2017
- 28
- 18
Karibu sana.Amani ya bwana iwe nanyi. Mimi ni mgeni wa forum hii. Nimevutiwa kujiunga baada ya kusikia kuwa forum hii huwa ina mijadala mikali na mizuli sana. Nitawashukru sana kwa ushirikiano wenu.
Nipokeeni kwa mikono miwili.
Jambazi hatari.
Amani ya bwana iwe nanyi. Mimi ni mgeni wa forum hii. Nimevutiwa kujiunga baada ya kusikia kuwa forum hii huwa ina mijadala mikali na mizuli sana. Nitawashukru sana kwa ushirikiano wenu.
Nipokeeni kwa mikono miwili.
Jambazi hatari.
Asante sana.unakaribishwa kwa mikono yote,jisikie upo na watanzania wenzako,
Nashukru ndugu kunionesha ndugu zangu
Asante sana nduguKaribia had jikon
Hahahah. Nashukru sana kwa kunikarimuKaribu,,,,, shusha bastola hapa sio protea wala mawingu
Nashukru sana kwa kuniksribishakaribu sana JF mjukuu wetu......
Tuvumiliane ndugu yanguTatizo mimi polisi na wewe jambazi ngoja nikuache maana sikawii kuku arrest na kuku rearrest
Mimi ni mheni humu ndugu.Umekuja na cheti original karibu umekuja kwa mbwebwe we sio mgeni nadhani umeongeza new I'd sniper wa protea
Asante sana ndugu. Nimekaribia.Karibu mkuu
naunga mkono hojaUmekuja na cheti original karibu umekuja kwa mbwebwe we sio mgeni nadhani umeongeza new I'd sniper wa protea
Nina cheti original ndugu. Mimi siyo bashitenaunga mkono hoja