Ndugu zangu wote hamjambo humu ndani?
Najiunga rasmi kundini, lakini mimi niko tofauti kidogo kwani "ntabase" kwenye jinsi JF itakavyotunisha kamfuko kangu, nimeona kuna resources kibao humu na hazitumiki na watu tunalia njaa. Mie kila ninachikiona nakitafutia tafsiri ya pesa, pesa! but clean money.
...."ntabase" kwenye jinsi JF itakavyotunisha kamfuko kangu.....!
Heeee! initially I thought unataka kumaanisha ''Jinsi JF itakavyotunisha mfuko wake''....kumbe wako tu.....aaah bana.....we need michango hapa as well...angalia signature yangu!
BWT: Karibu sana JF.....!
Inshallah, naamini kwa ujasiliamali wangu JF itanitoa tu, hapo usijali sitaitupa na ninakuhakikishia ni ni kitambo kifupi tu kijacho!
Karibu..
karibu jamvini mkuu. ila kama sisi tumelala kutafuta hizo pesa tunaomba utuamshe
Mie kila ninachikiona nakitafutia tafsiri ya pesa, pesa! but clean money.
Inawezekana tukawa sawa na wasukuma waliopewa gololi wachezee na wale wazungu wakachukua mawe yao.
Hata hivyo karibu sana.
Asante kwa kunikaribisha! La Wasukuma hapana sio hivyo, naamini tukiunganisha bongo zetu, lazima pesa zije tu.. mbona baado milango tele iko wazi!! haitumiki kabisa watu tunang'anga'nia mmoja tu!
Karibu....
Amina, unajua wanadamu wengi tunaakili sana...ila tunazitumia kwa mambo tofauti kabisa yasiyo tuletea tija yoyote maishani...na yanafanikiwa....
Karibu...
Mlango upi huo mmoja tunaong`ang`ania?
karibu jamvini mkuu. ila kama sisi tumelala kutafuta hizo pesa tunaomba utuamshe