Am here now, so Hot
Mbona unasound kama mgeni mwenyeji wewe?
Au ndo wale mnaoandika from Temeke to Kinondoni.
Kama tulikuwa pamoja, nimeona mautundu ya wenyeji.
hivi hata me wanakuwa hot eeeh!!!
Mgeni kweli wewe?
Tnx but mgeni mimi cjui kama utapona
Huyu si ajabu id yake imepigwa ban kaja kivingine.
Tnx but mgeni mimi cjui kama mtapona
Am here now, so Hot
Naona Fang kakugongea like. Hii ni bonge la hint!!!Mgeni kweli wewe?