Hodi MMU

Naona Fang kakugongea like. Hii ni bonge la hint!!!
Si unajua yeye ni insider, anaona double ID zote?
Karibu dada "So hot", hapa ni kwetu, unakunywa nini?

mhhhhh! Ina maana umesahau kinywaj changu?
 
Nimeuliza kinywaji mbadala maana sasa hivi hatuna Togwa humu ndani.

Kinachoendana sichagui coz mchoyo haonekani unanitega niseme ili unambie hakipo lol! Nimes2ka
 
Karibu, pita chumbani.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hapo mbona ushajijibu?

Kama hutaki kunijibu pouwa..................!
Ila tutajua tu maana mie naingia maliwato za jinsia zote kufanya uchunguzi..................!:becky:
 
"A successful man is one who can lay a firm foundationwith the bricks others have thrown at him"-agosti 8

Karibu sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…