Bin Kawambwa
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 440
- 297
Karibu sana.
Karibu JF.
Mmmmmh!! Haya.Nilipojiunga niliachana na forum hii maana ilikuwa inaendeshwa kitoto sana kwa sasa imekomaa inafaa kuitwa The Home of Great Thinkers kikwelikweli
Many many many thnx Ritz. Nmefurahi sana kupokea karibu yako. Kwa muda ambao sikuwa mwanachama nimekuwa napendezwa sana na hoja zako ingawa naweza nikawa sizikubali lkn navutiwa na namna unavyotetea point yako, wewe pamoja na wengine kama Mz Zomba.
Ahsante sana Ritz, nimekaribia.
Nami ni mgeni nakaribishwa?? Au mpaka nije na kishika uchumba
Karibu sana The Prof. has been turn dog!Hello JF! Nafurahi kuwa mwanachama, Natumai sijachelewa sana, tutakuwa pamoja from now on..
Tushirikiane pasipo kujali itikadi zetu iwe za siasa, dini, rangi, kabila & so fifth!
Ahsanteni, naomba kuingia.
Mkuu ndio maana ya uhuru wa kujieleza.
Nami ni mgeni nakaribishwa?? Au mpaka nije na kishika uchumba
karibu mkuu ila ishia sebuleni kwa sasa