Msela Ngoto
Member
- Jun 10, 2018
- 29
- 28
Niambie kichaa wangu. Hapa kilingeni utakutana na masela kibao. Mimi nipo hapa gheto na majambazi yangu tunakula nyasi. Kama vipi timba mwanangu mwenyewe.Habari zenu wadau..!
Kwa heshima na taadhima naomba mnipokee hapa jamvin kama mdau mpya...!
JF ni sehemu nzuri ya kubadilishana mawazo, ujuzi uzoefu katika changamoto zinatotukabili kama jamii..!
Natanguliza shukrani za dhati....
Msela Ngoto
Mgeni hajaja PM kweliKaribu
Kwa nini mkuu?Mgeni hajaja PM kweli
Maana naona kakalibishwa na warembo tuKwa nini mkuu?
Ahsante sana mkuu..Karibu mkuu..
haaaah we msela mwenzangu umetisha sana aysee jombaaa....Niambie kichaa wangu. Hapa kilingeni utakutana na masela kibao. Mimi nipo hapa gheto na majambazi yangu tunakula nyasi. Kama vipi timba mwanangu mwenyewe.
sio warembo tuu, hata watanashati pia wamenikaribisha bila kusahau masela wenzangu pia...Maana naona kakalibishwa na warembo tu
Haaaaa! kijiti cha Singa hikihaaaah we msela mwenzangu umetisha sana aysee jombaaa....
kitu cha dodoma au chuga.???
mimi ni ADAM timamujinsia yako tafadhali
Jombaaa, kama ingekuwa cha Olkokola ningejumuika nawe....Haaaaa! kijiti cha Singa hiki
Ahsante sana mdau...Karibu