Hodi Mwanza, vipi biashara ya kuku broiler inalipa?

jiwe angavu

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
20,419
Reaction score
39,217
Natumae mu wazima

Soon nataka kutanua biashara yangu ya kuku wa kisasa maarufu kama broiles.

Nauliza wenyeji wa mwanza je upepo wa biashara ya aina hii ya kuku ikoje huko,au mwanza ni mwendo wa samaki na dagaa wa ziwa?

BiasharaHainaChama.
 
Ndugu hiyo biashara mwanza sikushauri wekeza tu huko dar.
Natumae mu wazima

Soon nataka kutanua biashara yangu ya kuku wa kisasa maarufu kama broiles.

Nauliza wenyeji wa mwanza je upepo wa biashara ya aina hii ya kuku ikoje huko,au mwanza ni mwendo wa samaki na dagaa wa ziwa?

BiasharaHainaChama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko pakishamba sana ..hao kuku utajikuta unakula munyewe. Nenda mbinga uko nyanda za juu kusini, au kaskazini magharibi mwa nchi hii kuna hela sana kule utapiga hadi ushangae

Kwamba makazi wa mwanza hawatumii broilers[emoji848],shukrani kwa muongozo.
 
Mwanza kuku wa buku 10 unapata jogoo shababi la kienyeji, sasa mambo ya kuwaletea broilers wapi na wapi? Wasukuma wameambukiza na wageni kule ni kienyeji kwenda mbele! Broiler unaweza kula wewe mwenyew kuku laini laini na wasukuma wapi na wapi?
 
Wasukuma bado sana kwenye hizo issue. Peleka mzigo wa kuku wa kisasa Dar, Arusha na Moro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…