Hodi rasmi...!?

denoo49

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
6,113
Reaction score
6,950
Hodi rasmi, ma bibi na mabwana. Nilichelewa kujitambulisha nilikuwa nakamilisha taratibu za kupata VISA ya kuingia kwenye hii "ndenge" iliyo na kila aina ya "abiria". Hivyo nikuombeni ruhusa ya kukaa rasmi kwenye seat na nipewe fursa ya kufunga "mkanda" tayari kwa safari...!!
 
Karibu sana katika ndenge ya JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…