hmm! kama unataka kujua kama unaweza kumpa mkeo ,kanunue then ujaribu kwake uone kama itafanya kazi,usiogope kujaribu,kujaribu ndio kujifunza kwenyewe huko.
naona ndugu yangu mkeo amekushinda hadi unataka kumuekea madawa? mlete kwangu nimpatie limbwata origino.