Hodi tena wakazi wa Dar es Salaam natafuta mno kifaa hiki

Hodi tena wakazi wa Dar es Salaam natafuta mno kifaa hiki

Adolph Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
5,950
Reaction score
9,511
Wasalaam.

Ni muda mrefu sasa sijafika hapo jijini na ata kwenye masoko makubwa kama kariakooo nimeishaanza kusahau mitaa.

Ila tatizo langu ni dogo kama nitapata mwenye uelewa wa kifaa hiki kinaitwa Hub motor.

Pia kama ikipatikana motor ya kawaida ambayo ni brushless dc motor itakuwa poa sana.

Screenshot_20240813-180001.png

Asante
 

Attachments

  • Screenshot_20240813-180001.png
    Screenshot_20240813-180001.png
    520.8 KB · Views: 11
Back
Top Bottom