Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Wasalaam.
Ni muda mrefu sasa sijafika hapo jijini na ata kwenye masoko makubwa kama kariakooo nimeishaanza kusahau mitaa.
Ila tatizo langu ni dogo kama nitapata mwenye uelewa wa kifaa hiki kinaitwa Hub motor.
Pia kama ikipatikana motor ya kawaida ambayo ni brushless dc motor itakuwa poa sana.
Asante
Ni muda mrefu sasa sijafika hapo jijini na ata kwenye masoko makubwa kama kariakooo nimeishaanza kusahau mitaa.
Ila tatizo langu ni dogo kama nitapata mwenye uelewa wa kifaa hiki kinaitwa Hub motor.
Pia kama ikipatikana motor ya kawaida ambayo ni brushless dc motor itakuwa poa sana.
Asante