Hodi wana Great thinkers

Hodi wana Great thinkers

tupendane1

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
11
Reaction score
8
Nimekuwa nafuatilia kwa umakini zaidi ya miaka miwili mtandao huu wa Great thinkers,hakika nimeukubali na nimeamua rasmi kujiunga ili nami niweze kuwa nachangia mada mbalimbali.Hakika huu ni mtandao wa waliojaa hekima na welevu wa hali ya juu.
Naomba mnikaribishe kwa mikono miwili.
Mungu Ibariki Tanzania,wabariki Watanzania wote na wawe na ufahamu wa kutambua haki zao na kuzidai.
Asanteni
 
Karibu JF, mkuu tupendane1,

Ngoja nikukaribishe na hekima kidogo, "Victory is won not in miles but in inches. Win alittle now, hold your ground, and later, win a little more"

karibu sana..
 
Back
Top Bottom