Hodi wana jamii!

gunasoljer

Member
Joined
Oct 21, 2014
Posts
28
Reaction score
17
Nimekuwa nikisoma na kujifunza mambo mbali mbali hapa jf kwa kipindi cha muda mrefu sasa. Nakaona huwa nakosa mambo mengi nikiwa sijajiunga, hi yo Leo nimeona nijiunge rasmi. Naombeni mnipokee.
 
pita karibu mpaka jukwaa pendwa MMU humu hakuna matumizi ya Facebook Yale kwenye s ukaweka xx uta.........
 
Oooh karibu karibu sana huku kuna mengi ya kujifunza,pia nakushauri uwe mvumilivu kuna saa panakera lakini penye wengi pana mengi
 
karibu sana,humu ndani kuna sehemu maarufu sana inaitwa PM wadau watakuita uwatembelee pm usiogope.
 
uku wapo watu wenye shule zao so ulete utoto wenu wa facebook.
 
Jinsia please ili tujue namna ya kukukaribisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…