Vp bado tu inakuzingua?Sawa
utaumia mkuu ni pm hata mimi nikuonyeshe uchororo wote humuHilo la namba hapana. Wacha niwe nipambane na hali yangu, nitaelewa tu taratibu
Pale kwenye kupm umeshidwa kwanHilo la namba hapana. Wacha niwe nipambane na hali yangu, nitaelewa tu taratibu
Kasema hajui ata kupmutaumia mkuu ni pm hata mimi nikuonyeshe uchororo wote humu
Ukifaham kupm fanya kuni pm nikwelekeze mengine.Nielekeze jinsi ya kupm
Uko peke yako kabisa na ninaahidi kuwaacha wengine wote ili niwe na wewe tu na kuambatana na nawe,kwa nyakati za taabu na kwa nyakati za raha.Asante sana. Kwa kweli sitajali ilimradi tu niwe peke yangu
Ur most welcome.Maneno yako nimeyasikia,nasubiria matendo yako sasa