Awali ya yote nashukuru kukubaliwa kuunganishwa hapa, nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali za wanaJF kwa muda mrefu.
Nimeelimika na mengi, pia nimekuwa nikiburudika na mengi kupitia JF.
Nimeona vema kujiunga rasmi ili nami niweze kupata fursa ya kuchangia mawazo yangu katika mada mbalimbali whenever I can.
Naomba ushirikiano wakuu. Asanteni.
Mtingi1.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeelimika na mengi, pia nimekuwa nikiburudika na mengi kupitia JF.
Nimeona vema kujiunga rasmi ili nami niweze kupata fursa ya kuchangia mawazo yangu katika mada mbalimbali whenever I can.
Naomba ushirikiano wakuu. Asanteni.
Mtingi1.
Sent using Jamii Forums mobile app