Fred Mushi
Member
- May 4, 2013
- 49
- 9
Umetua kutokea wapi?Wewe ndo uvccm hapo Moshi?Nimetua rasmi hapa Jukwaani..
Umetua kutokea wapi?Wewe ndo uvccm hapo Moshi?
Umetua kutokea wapi?Wewe ndo uvccm hapo Moshi?
Mimi ni Mkt UVCCM Mkoa wa K'njaro..
Hapana.Ila jina lake linafanana na yule mwenyekiti wa uvccm Moshi ambaye yuko kwenye ule mtandao Ben aliyoweka mawasiliano yao hapa JF.Nyie ni ndugu?
Nimetua rasmi hapa Jukwaani..
Oh!Ok,ni wa mkoa,haya karibu JF.Umeshaupitia ule uzi wa Ben?Mimi ni Mkt UVCCM Mkoa wa K'njaro..
Ben Saanane said:Naomba WanaJF msiingie kwenye mtego huu. Nalionya kundi hili, na yeyote yule anayehusika. Sitavumilia mchezo huu unaoratibiwa na wanachama wa kundi hili wakiongozwa na hawa wafuatao kulingana na mawasiliano niliyonasa na pia kwa jinsi wanavoonekana kwenye member List ya group husika
1: Eddah Kishimba-Mtumishi wa Serikali
2: Martin Shigella(Katibu mkuu-UVCCM)
3: Fredy Mushi(Mwenyekiti UVCCM-Moshi)
4: Junior Matukuta(UVCCM-Mbeya)
5: Assenga Abubakar(UVCCM-Morogoro)
6: Ali Salum Hapi(kwa interest zake)
7: Ismail Shah(mjumbe wa NEC-CCM)
8: Mrisho Gambo(mkuu wa wilaya korogwe)
9: Juliana Shonza
10: Mtela Mwampamba na wengineo kama wanavyoonekana katika GROUP hilo Facebook, Twitter, bloggs na kwingineko.
Mbna ule uzi wako Tanuruni umeukimbia kumsafisha mzee wako ELMimi ni Mkt UVCCM Mkoa wa K'njaro..
Really?Is this stuff practical ama maneno na porojo tu?Kauli yetu UVCCM-Ni kujenga na kulinda ujamaa..
Really?Is this stuff practical ana maneno tu?
Ni ujamaa mpya mnaujenga ama ni ujamaa uleule wa mwalimu mnaulinda?
Ukisema mnaulinda(endapo bado upo) ni uongo,ebu niambie mnaulinda kivipi?Ni ujamaa ule ule wa Baba wa Taifa Mwl J. K. Nyerere..
Nimetua rasmi hapa jukwaani...
Je, Fred Mushi ni nani?
Mimi ni Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kilimanjaro...
Kwa nafasi yangu hii..
Ni mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa..
Pia, ni mjumbe wa mkuu wa CCM Taifa..
Kidumu Chama Cha Mapinduzi..
Kauli yetu UVCCM-Ni kujenga na kulinda ujamaa..
aka zako zingine hapa ni zipi nahisi tulikuwa pamoja hapa siku nyingi tuUna maana gani kusema nimeukimbia?
Mbona naufatilia.
Join Date : 4th May 2013
Posts : 3.
aka zako zingine hapa ni zipi nahisi tulikuwa pamoja hapa siku nyingi tu
jmushi1 kakurushia kabrasha la Ben Saanane ,Hapana, leo ndio nimejiunga rasmi hapa! Sina a.k.a yoyote..
Natumia jina langu la asili..