Hodi wana jf

Hodi wana jf

BABAAKUBWA

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
120
Reaction score
27
Ndugu wana jf,
ninaomba kujiunga nanyi kwa mara ya kwanza kama mwanachama wa jf ili kwa pamoja tujadili,tujifunze,tuelimike na tufurahi.

Naomba mnipokee bila kinyongo, na mnipe kampani bila hiana. Ushauri wenu ni lulu kwangu.

Shukrani.
 
Ndugu wana jf,
ninaomba kujiunga nanyi kwa mara ya kwanza kama mwanachama wa jf ili kwa pamoja tujadili,tujifunze,tuelimike na tufurahi.

Naomba mnipokee bila kinyongo, na mnipe kampani bila hiana. Ushauri wenu ni lulu kwangu.

Shukrani.

Karibu pita ndani, Do's & dont's za Jf si unazijua?
 
Back
Top Bottom