Naira lucas
New Member
- Apr 12, 2020
- 2
- 3
Acha ufala wewe unafikiri huku ni FacebookNapenda kujitambulisha kwenu km member mpya wa jf .. nawapenda Sana
Ila watu [emoji3][emoji3][emoji3]
Si hamkumkaribisha!! Sasa anawapa taarifa kuwa nae yupo hivyo mumkaribishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumeenda kumkaribisha mpaka pm lkn hatoi ushirikiano[emoji23]Si hamkumkaribisha!! Sasa anawapa taarifa kuwa nae yupo hivyo mumkaribishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I hope mmeelewa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumeenda kumkaribisha mpaka pm lkn hatoi ushirikiano[emoji23]
Sasa sijui anataka ukaribisho wa aina gani.