Rae mar Member Joined Nov 18, 2016 Posts 12 Reaction score 9 Nov 19, 2016 #1 Jamani naomba ushirikiano wenu mm ni member mpya wa jf
Daby JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 33,894 Reaction score 76,810 Nov 19, 2016 #2 Karibu mkuu. Taja Jinsia... Umri... Kapicha tukusaidie kubandika kwenye profile... Elimu....
Rae mar Member Joined Nov 18, 2016 Posts 12 Reaction score 9 Nov 19, 2016 Thread starter #3 Sawa kaka
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 37,957 Reaction score 26,414 Nov 20, 2016 #4 Karibu JF...
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 May 27, 2022 #6 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Jini mtuu Member Joined May 22, 2022 Posts 45 Reaction score 53 May 27, 2022 #7 Rae mar said: Jamani naomba ushirikiano wenu mm ni member mpya wa jf Click to expand... Zijue sheria na kanuni za humu. 1.hap sio Facebook kila thread utoe maoni. 2.angalau ujue kusoma na kuandika kingereza Cha kuombea maji 3 asilimia kubwa ya humu ni wake za watu so please jifunze kua na heshima na kila mwanamke utakae muona humu.. 4.Hautakiwi kua offline..nikiona haupo online nafuta akaunti yako.. Lazima kila mtuu umamkie Sawa kijana[emoji1787] Jus 4 funyy my Young brother [emoji1787][emoji1787] Karibu sana
Rae mar said: Jamani naomba ushirikiano wenu mm ni member mpya wa jf Click to expand... Zijue sheria na kanuni za humu. 1.hap sio Facebook kila thread utoe maoni. 2.angalau ujue kusoma na kuandika kingereza Cha kuombea maji 3 asilimia kubwa ya humu ni wake za watu so please jifunze kua na heshima na kila mwanamke utakae muona humu.. 4.Hautakiwi kua offline..nikiona haupo online nafuta akaunti yako.. Lazima kila mtuu umamkie Sawa kijana[emoji1787] Jus 4 funyy my Young brother [emoji1787][emoji1787] Karibu sana