Hodi

Hodi

Watumie Moderators maombi yako ukiambatanisha na nakala ya kitambulisho halali kinachokubalika hapa nchini
 
Hiyo picha mbona kama ya Jamal El Fayeed the president of abudeen!? Acha uongo we mzee
 
Hiyo picha mbona kama ya Jamal El Fayeed the president of abudeen!? Acha uongo we mzee

Labda hio ni ndogo sana nitazame vizuri...

IMG-20170918-WA0003.jpg
 
Verified users hatulipi mkuu...wale Premium BRONZE, GOLD, PLATNUM na TANZANITE MEMBERS ndio huwa wanalipa Ada kila muhula
Haw kwann wanatakiwa kulipia au sababu ya kulipia ni nn haswa tofauti na member wengine..?
 
Haw kwann wanatakiwa kulipia au sababu ya kulipia ni nn haswa tofauti na member wengine..?
Hawa wanaipenda JF ndio maana...ili iweze kujiendesha kunahitajika gharama sasa wao wanaichangia....Tofauti wao wana Jukwaa lao ambalo huwa wanashirikishana fursa mbalimbali zilizo serious..pia wanaweza kujumuika kwenye majukwaa haya ya kawaida
 
Back
Top Bottom