Dondandugu
Member
- Dec 27, 2017
- 18
- 4
Tayari nishaingia kwenye nyumba ya maarifa na wajuvi waliobobea katika taaluma zao, naomba kujuzwa nisiyoyajua. Asanten sana[emoji144].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nn tena bikira latifahHahaaa
ktambo sana nlshasoma ayoooNenda kasome JF terms and conditions utayajua
tena mabutiUmevaa viatu?
aaah mkuu ni 'me' aiseeWewe ni me au ke
Kama ni "me" sawa mimi humu nina cheo cha kugawia member wapya madem kwa "me".aaah mkuu ni 'me' aisee
aaaaaaaah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kwahyo naokota dodo kene mnazi etKama ni "me" sawa mimi humu nina cheo cha kugawia member wapya madem kwa "me".
Wewe demu wako nimekupa huyo wa kwanza kucoment kwenye hii thread yako.
bikira latifah
Kama kawa mkuu kazi kwako.aaaaaaaah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kwahyo naokota dodo kene mnazi et
bas baridaa mkazuzuKama kawa mkuu kazi kwako.
Umetubu??tyar nshaingia kwenye nyumba ya maarifa na wajuvi waliobobea ktk taaluma zao,naomba kujuzwa nisiyoyajua asanten sana[emoji144]
na upako nshawekwaUmetubu??
hili n dondandugu la kale so halinukiDuu hivi hilo donda ndugu lako halitoi harufu?
syo compulsory sana mkuu so usimaind bt thanx kwa kunikumbusha ntawekaumesahau kupost picha yako