Kama hutakali naomba niwe mwenyeji wako
ahaa,sorry,nimesema hiv niwe mwenyeji wakoooSijakuelewa
Njoo pm haraka Sana kabla hujapigwa BAN kwa kosa la kunipuuzia
Eeeeh
serengeti yenyewe sawa, ila tatizo vyumaSasa serengeti bar nikanywe fanta kwann isiwe serengeti yenyewe??
[emoji23][emoji23]Sasa serengeti bar nikanywe fanta kwann isiwe serengeti yenyewe??
Alikuja?Njoo pm haraka Sana kabla hujapigwa BAN kwa kosa la kunipuuzia