Anataka aopoe kabisa manzi moja kwa moja [emoji23]Kwani hili jukwaa gani ndugu mgeni?
Karibu
Kuopoa sasa hivi haiwezekani hadi awe expertAnataka aopoe kabisa manzi moja kwa moja [emoji23]
Ubaguzi sasa huo. Ina maana ma expert tu ndio wana mioyo ya kupenda [emoji848]Kuopoa sasa hivi haiwezekani hadi awe expert
Haya naona interview imeanza hili jukwaa na mahusiano,mapenzi na urafiki kama nimepatia niambie nikachukue soda kwa mangiKwani hili jukwaa gani ndugu mgeni?
Karibu
Anaruhusiwa kumpenda new member mwenzakeUbaguzi sasa huo. Ina maana ma expert tu ndio wana mioyo ya kupenda [emoji848]
[emoji38][emoji38][emoji38]Anaruhusiwa kumpenda new member mwenzake
Subiri kwanza interview bado inaendelea..soda utakunywa ukipata yoteHaya naona interview imeanza hili jukwaa na mahusiano,mapenzi na urafiki kama nimepatia niambie nikachukue soda kwa mangi
Ha ha unajuwaje km mm cyo exepert huko nilipotokaKuopoa sasa hivi haiwezekani hadi awe expert
😅😅[emoji38][emoji38][emoji38]
Ulikotoka wapi?Ha ha unajuwaje km mm cyo exepert huko nilipotoka
Cjaliona mkuu!Mbona inamijiswali migumuSubiri kwanza interview bado inaendelea..soda utakunywa ukipata yote
Jukwaa la utambulisho hujaliona kule?
BadooooooUlikotoka wapi?
Sasa soda unaipata kwa maswali marahis? Au hutaki soda tena?Cjaliona mkuu!Mbona inamijiswali migumu