Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujambo? Umeshajiandikisha kwenye daftari la kuchagua viongozi wa serikali za mtaa?Nmerudi tena mnipokee,,,password ilipotea hatimaye nmeipata
Sijambo,,,,foleni kubwa bado sijajiandikishaHujambo? Umeshajiandikisha kwenye daftari la kuchagua viongozi wa serikali za mtaa?
karibu tena unaonekana mkongwe sana kwenye ID ila ndo hivyo hukuwa active...Sijambo,,,,foleni kubwa bado sijajiandikisha
Ahsante tenakaribu tena unaonekana mkongwe sana kwenye ID ila ndo hivyo hukuwa active...
Ahsante mwenyejiKaribu tena mgeni mwenyeji.
😁 😀😁😀Na line za simu/bank accounts zingekuwa zinakaa muda mrefu hivi halafu ukiweka inakuwa active ingekuwa bomba sana
Karibu tena mkuu ni ME/KE?😁 😀😁😀
ME mkuuKaribu tena mkuu ni ME/KE?
KARIBU TENA JAMAA, USIPOTEZE TENA MWILAME mkuu
NywilaKARIBU TENA JAMAA, USIPOTEZE TENA MWILA