Hodi

Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.
 
Eti mkuu!ni kweli mnyororo uliwahi kushuka toka angani pale ziwa tanganyika na kumvuta joka kubwa kwenda angani????karibu sana!!!
 
Mwenyewe uzi una chuki na beberu marekani amuweke vikwazo beberu mwezie kwa sababu ya ushoga acha chuki za kijinga akuna nchi atakaye kubali ujinga huo sema point umemsema zito kwa inshu ile ya world bank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…