Baharajajab
New Member
- May 19, 2020
- 4
- 1
Wewe kweli mgeni, sasa unapojibu uwe unaquote kama hivi usiwe unajibu kama unakomenti.......hahahhahhahAsante sana
Ndio maana sijatia neno zaidi !!
Wewe kweli mgeni, sasa unapojibu uwe unaquote kama hivi usiwe unajibu kama unakomenti.......hahahhahhah
Maana hapo haieleweki hata umeanza kumjibu nani yaani hujazingatia itifaki.
Hahahahahah.....poa poaHahaha nadhani nimeweza sasa
KaribuNafurah kuwemo humu ndani. Tuendelee kujikinga na hili janga.