Una salamu zozote? Karibu sana!hodi.. hodi nyumba hii.... mimi ni mgeni eneo hili naomba mnikaribishe kwani mimi ni ndege mtulivu nisiye na matata nimeruka toka MOA, MANZA BAY NIKAFIKA TANGA MJINI , NIKARUKA MPKA HUKU UGHAIBUNI , SASA NIMEKUJA HAPA nnasalamu zenu nataka nizifikeshe nipeni mtama na maji niywe kwanza .. bado ningalipo hapa mlangoni naomba mnifungulie ... jamaniiπ
hodi.. hodi nyumba hii.... mimi ni mgeni eneo hili naomba mnikaribishe kwani mimi ni ndege mtulivu nisiye na matata nimeruka toka MOA, MANZA BAY NIKAFIKA TANGA MJINI , NIKARUKA MPKA HUKU UGHAIBUNI , SASA NIMEKUJA HAPA nnasalamu zenu nataka nizifikeshe nipeni mtama na maji niywe kwanza .. bado ningalipo hapa mlangoni naomba mnifungulie ... jamaniiπ
hahaha , ahsante msanii! nimepita ndani, mimi kaka ni njiwa dume tafadhali hicho kisu kirudishe! akhui wangu..
Nna salaam zenu toka kwa maboss wa DECI katika rukaruka zangu mmoja wao akanipa salamu akasema "wapesalamu wanajamii kwamba watanzania msipende utajiri wa haraka na wa dezo dezo toka lini pesa ikazaa bila jasho??"
LazyDog, si yametimia mkuu! kwi kwi kwi!
Ah! Watu hawakuwa na mashaka yoyote bwana, kwamba eti UTALIWA?! Wamefuata ushauri wa raisi wao, aliyewahi kusema "lazima uliwe kwanza" π
Karibu jamvini. Nice introduction by the way!