Hodi

Hodi

Mdadisi halisi, nijitokeze kukukaribisha, umeingia jamvini wakati taifa linachangamoto ya ufisadi, ujangili wa wanyama wetu wa polini, kushuka kwa elimu yetu, ugaidi huko Arusha, hebu nawe fanya udadisi na uje na michango yenye tija humu ndani. Nchi imeenda kombo, as if inaongozwa na vichaa...tunaelekea kwenye ukombozi. Ikiwa uko mlengo wa kijani (ccm), si mdadisi bado, utakuwa very low for your name here.....
 
Back
Top Bottom