Hodi

Mugondo

Senior Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
168
Reaction score
180
Hodi wanajamvi,

Nimekuwa nikiangalia jamii forums kama guest lakini nilikuwa sina uwezo wa kupost na kucomment.

Nimejiunga kwa hiyo ninauwezo sasa wa kupost na kuchangia mada.

Naombeni mnipokee.
 
Hodi wanajamvi,

Nimekuwa nikiangalia jamii forums kama guest lakini nilikuwa sina uwezo wa kupost na kucomment.

Nimejiunga kwa hiyo ninauwezo sasa wa kupost na kuchangia mada.

Naombeni mnipokee.

Apigaye hodi hupokewa au hukaribishwa? Mimi sikupokei JF bali ninakukaribisha JF, KARIBU SANA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…