Hodi

lagusya

Member
Joined
Feb 26, 2010
Posts
17
Reaction score
1
Napenda kuwasalimu wote,nafurahi kuwa pamoja nanyi ,nawatakia siku njema
 
karibu lagusya...habari ya j2?
 
Kabla ya kukukaribisha ningependa na mie nidandie hodi yako,mie pia ni mgeni wa JF,nimeamua kuomba lift ili nisiwachoshe wananzengo.Natumaini nimekaribishwa na kupokelewa hivyo nina weza kukukaribisha pia.
Ahsante,
Jack Beur
 
Kabla ya kukukaribisha ningependa na mie nidandie hodi yako,mie pia ni mgeni wa JF,nimeamua kuomba lift ili nisiwachoshe wananzengo.Natumaini nimekaribishwa na kupokelewa hivyo nina weza kukukaribisha pia.
Ahsante,
Jack Beur
We utakuwa wa mgodini................ anyway, karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…