C clarakanaeli New Member Joined May 11, 2015 Posts 3 Reaction score 0 May 26, 2015 #1 Wanajamvi nawapenda nyote kwa kipnd kirefu nmekuwa nikiwafuatilia nimejifunza mengi sanaaaaa nmeona si vibaya nikiwa mwana JF... Sema nn hivi huku ni mwiko kutaja Jina lako halisi???
Wanajamvi nawapenda nyote kwa kipnd kirefu nmekuwa nikiwafuatilia nimejifunza mengi sanaaaaa nmeona si vibaya nikiwa mwana JF... Sema nn hivi huku ni mwiko kutaja Jina lako halisi???
chikanta11 Member Joined May 10, 2015 Posts 12 Reaction score 2 May 26, 2015 #2 n uamuz wako tuuu....karb
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 May 26, 2015 #3 Karibu sana JF... Hakuna mahali unakatazwa kutumia jinalo halisi...
Bangsweezy JF-Expert Member Joined Jan 6, 2014 Posts 880 Reaction score 200 May 26, 2015 #4 karibu mgeni JF
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 May 26, 2015 #5 Karibu sana mgeni
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 May 27, 2015 #6 Karibu sana JF mjukuu wetu sie wakongwe.............