hodihodi jf

nyanya ntore

Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
7
Reaction score
3
Ndugu zangu wa jukwaa hili mu wazma?
Mimi ni mgeni ktk jukwaa hili, ila kwa mda mrefu nmekuwa mfuatiliaji wa karibu sana wa threads zinazoletwa hapa jukwaani. Hivyo nmevutiwa na jinsi wadau wanavyopambanua mambo, hivyo naombeni ukaribisho wenu
nawasilisha!
 
Sasa mbona umeingia chumbanu kabla ya kupita sebuleni???
 
Karibu mkuu nyanya ntore ingawa chungu..............Samahani hili jina lako limenikumbusha ntore yaani ndulele
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…