Mkuu watu8 vipi leo umewekwa mapokezi nini???.......maana naona unakazi moja leo ya kukaribisha wageni vipi na soda zao unawapa lakini.??
[/QUOTE]Hata ugali watapata mkuu...<br />
<br />
[quote name="Transporter" post=10928461]Mkuu watu8 vipi leo umewekwa mapokezi nini???.......maana naona unakazi moja leo ya kukaribisha wageni vipi na soda zao unawapa lakini.??
I hope wamekuja na mboga. Manake huku masaini mgeni anakuja na kuku kwapani