Umesikia viatu vinavuliwa kanisani tuNivue viatu mlangoni, pamekua msikitini hapa.
Acha ubishi mkuuNimeona vinavuliwa msikitini tu, kanisani sijawahi ona.
Na haitokaa itokeeNimeona vinavuliwa msikitini tu, kanisani sijawahi ona.
Bora umemwambia mbishi kama, ,,,,,,,,Acha ubishi mkuu
Msikilize mwenyeji wako
Vua viatu ivyo!!
Eboo! [emoji35] [emoji35] [emoji35]
[emoji28] [emoji28]Viatu havivuliwi hapa[emoji32] [emoji32] [emoji32]
Hodii!