Unaona sasa umshaanza ubashite sasaUnamjua bashite wewe??
Au wewe ni badala ya Lizaboni??Habari za asubuhi mabibi na mabwana...
Mimi ni mgeni naomba kupewa sheria na taratibu za humu
Acha kukariri......unakipa tabu kichwa chakoUnaona sasa umshaanza ubashite sasa
Lizabon ni nani na anaishi wapi??Au wewe ni badala ya Lizaboni??
Mabashite huwa hampendi kuvipa vichwa vyenu tabu, mwisho wa siku mnascore bashiteAcha kukariri......unakipa tabu kichwa chako
Kichwa changu siwezi kukitumia kwenye kukariri bali nakitumia kwenye kufikiria zaidiMabashite huwa hampendi kuvipa vichwa vyenu tabu, mwisho wa siku mnascore bashite
Karibu sana mgeni. Mi mwenzio nakupenda CCM haswa. Karibu mkuuHabari za asubuhi mabibi na mabwana...
Mimi ni mgeni naomba kupewa sheria na taratibu za humu
Sasa kulipenda ilo lichama, utasema kichwa chako kinafikiri Kwel [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kichwa changu siwezi kukitumia kwenye kukariri bali nakitumia kwenye kufikiria zaidi
AsanteKaribu sana mgeni. Mi mwenzio nakupenda CCM haswa. Karibu mkuu
Kwani chama kina nini???Sasa kulipenda ilo lichama, utasema kichwa chako kinafikiri Kwel [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Shukran sana[emoji120]Karibu Achana na Hawa nyumbu.. Wana CCM wenzako Tupo wengi Sana kama wote vile.. Karibu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Usijali mkuu mbona hata wewe unaweza kutumia[emoji4] [emoji4] Jaribu kufanya editing kidogoMkuu umekopi username ambayo nilitaka kuitumia baada ya kuchukua kadi ya chama pendwa Jumatatu.
AsanteWelcome