Gentlewoman
Senior Member
- Aug 13, 2018
- 191
- 389
daah,my bad!Asante mi mgeni mwenyeji mkuu,ninaye mchumba,soon utamfahamu.
Haha pambana tu na hali yako mkuu hakuna namna.daah,my bad!
Ningependa Anifahamu baby[emoji4][emoji4][emoji8]Asante mi mgeni mwenyeji mkuu,ninaye mchumba,soon utamfahamu.
Mmmh hakuna ukweli hapa, ni porojo za kuepuka mitongozo. Na sisi hatujali tutakutongoza tu mpka ukubali narudia tena mpka ukubali.Asante mi mgeni mwenyeji mkuu,ninaye mchumba,soon utamfahamu.
Asante ...kingKaribu dgo
Thank you so much dear.You are warmly welcome Gentlewoman....
I am Mr Gentleman[emoji8]
Asante nishakaribia ila chumbani sifiki sijazoea kuingia na viatuKaribu ndani ingia na viatu hadi chumbani.
Unanifanya niringe baby[emoji8]Bila Shaka kashafahamu baby.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] yametosha?Thank you so much dear.
Sikubali na tena nakazia sikubaliMmmh hakuna ukweli hapa, ni porojo za kuepuka mitongozo. Na sisi hatujali tutakutongoza tu mpka ukubali narudia tena mpka ukubali.
AsanteKaribu
Uhuuuu barafu hilihili nalolifaham?? Usiniweke juan basi nikayeyuka bureLazima uringe baby we c ndo barafu wa moyo wangu.
Najua umenikaribisha dm nakuja mda si mrefuSikubali na tena nakazia sikubali