Calvin de Charzy
Member
- Feb 16, 2019
- 8
- 12
hi! kwa majina naitwa Calvin de Charzy(C.d.C). naishi mkoa wa Arusha Tz. pia ni mjasiriamali mdogo.ni miaka isiyo pungua 21. tutajua zaidi tukiendelea kuwepo humu ahsanten! i need ur support..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh....kama fb flani.kwa majina naitwa Calvin de Charzy (C.d.C).Ni mtoto wapili katika familia ya Peter Mbuya. nimezaliwa Arusha. na ninaishi Arusha.ninamiaka isiyopungua 21. pia ni mjasiriamali mdogo.pia mfanyabiashara .nisingependa kuongea sanaaaa! maana naweza nika jaza page yote hi kwa kujitambulisha tyu! ahsanten! ila kitu ninacho waomba ni ushirikiano.... only that!..