Hodii

Hodii

Joined
Feb 16, 2019
Posts
8
Reaction score
12
hi! kwa majina naitwa Calvin de Charzy(C.d.C). naishi mkoa wa Arusha Tz. pia ni mjasiriamali mdogo.ni miaka isiyo pungua 21. tutajua zaidi tukiendelea kuwepo humu ahsanten! i need ur support..
 
Kwa majina naitwa Calvin de Charzy (C.d.C).Ni mtoto wapili katika familia ya Peter Mbuya. nimezaliwa Arusha na ninaishi Arusha.ninamiaka isiyopungua 21. pia ni mjasiriamali mdogo.pia mfanyabiashara .

Nisingependa kuongea sanaaaa! maana naweza nika jaza page yote hi kwa kujitambulisha tyu! ahsanten! ila kitu ninacho waomba ni ushirikiano.... only that!..
 
kwa majina naitwa Calvin de Charzy (C.d.C).Ni mtoto wapili katika familia ya Peter Mbuya. nimezaliwa Arusha. na ninaishi Arusha.ninamiaka isiyopungua 21. pia ni mjasiriamali mdogo.pia mfanyabiashara .nisingependa kuongea sanaaaa! maana naweza nika jaza page yote hi kwa kujitambulisha tyu! ahsanten! ila kitu ninacho waomba ni ushirikiano.... only that!..
Duh....kama fb flani.
 
Back
Top Bottom