Old Granny
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 392
- 555
Habari wana jf!
Siku izi zama zimebadilika sana, hadi kina bibi tunajua na bdo tunaendelea kujifunza ktumia mitandao..
Mim n bibi wa mwendokasi,
Naomba mnipokee kwa mikono mi2.
Povu ruksa,nataka nikafulie [emoji23] [emoji23] .
Ujumbe..Ng'ombe hazeeki maini, nayawexa yote.
Siku izi zama zimebadilika sana, hadi kina bibi tunajua na bdo tunaendelea kujifunza ktumia mitandao..
Mim n bibi wa mwendokasi,
Naomba mnipokee kwa mikono mi2.
Povu ruksa,nataka nikafulie [emoji23] [emoji23] .
Ujumbe..Ng'ombe hazeeki maini, nayawexa yote.