Karibu sana Mkuu.Mi mgeni hapa JF.....nikaribisheni basi.
Karibu sana. Mimi ndio huwa nawaelekeza wageni jinsi ya kuishi na watu hapa JF. Kwa msaada zaidi nione PMMi mgeni hapa JF.....nikaribisheni basi.
Huku JF hawafupishi maneno bila mpangilio mama. Watakunyoosha, andika neno likiwa mzima kabisa.
Karibu sana missMi mgeni hapa JF.....nikaribisheni basi.