Hodiii

hapa tunapokea vigoli,siyo kuruta

halafu "naomb mnpokee" imekaa kishoga shoga..

unanataka dushe
 
Umenikumbisha mjeda wangu James Jeddah ....
 
Mamaa kasie mda sana upo ww. Nakujua since 2017

Shuleni ulikuwa mwizi wa nini?

Mie mgeni kisoda humu bado nna kikuku jiguuni, maana 2017 nlikuwa sijazaliwa aahahahahahaa.
 
Shuleni ulikuwa mwizi wa nini?

Mie mgeni kisoda humu bado nna kikuku jiguuni, maana 2017 nlikuwa sijazaliwa aahahahahahaa.
Cjui we upo Kama zaman kind kile uko umejaa mahaba na kijana flan hv nikiw likizo nakuta poem za kasie nyng kwa someone..,. Ila jf imebadlk xana mpk lala 01 cmuon tens😢😢😢
 
Cjui we upo Kama zaman kind kile uko umejaa mahaba na kijana flan hv nikiw likizo nakuta poem za kasie nyng kwa someone..,. Ila jf imebadlk xana mpk lala 01 cmuon tens😢😢😢


Kama kipindi cha Lara 1 ulikiwepo.....

Kwaheri wewe ni zaidi ya Babu humu JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…