Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nawapa pole kwa
mihangaiko ya kutwa ya ujenzi wa taifa letu. Naamini mwisho wa yote ni
kujenga taifa lenye ustawi imara kwa manufaa ya wote. Pili naombeni
mnipokee kwa furaha ktk jukwaa hiki. Permorejah sana.
yaani kuingia na kuingia tu unakuja na swaga za kibongo fleva,eti permorejah sana,dogo angalia wewe,ila karibu sana mzee mzima,uwanja ni wako,una lolote jipyaa??
yaani kuingia na kuingia tu unakuja na swaga za kibongo fleva,eti permorejah sana,dogo angalia wewe,ila karibu sana mzee mzima,uwanja ni wako,una lolote jipyaa??
Hata mimi hilo neno limenichanganya kidogo,nilifikiri ameandika kihindi
kwani neno permojah lina athari gani mkuu? Any way asante kwa ukaribisho wako. Nazd kunena tena tuko pamoja.